Mechi nyingine ya kundi hilo ilikuwa kati ya Al Ahly ya Misri ilipoikaribisha AS Vita ya DRC katika uwanja wa Borg El Arab mjini Alexandria. Al Ahly imebuka na ushindi wa magoli 2-0.
Kwa matokeo hayo, Simba ya Tanzania inaongoza kundi hilo la D, ikiwa na alama 3 na magoli 3, inafuatiwa na Al Ahly yenye alama 3 na magoli 2, AS Vita imekamata nafasi ya tatu kwa kutokuwa na alama wala goli la kufunga na JS Soura yenyewe inakamata mkia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |