Mshambuliaji wa Man U Marcus Rashford ndio alifunga bao la pekee kwenye mchezo huo katika dakika ya 44 akimalizia pasi ya kiungo Paul Pogba.
Manchester sasa imefikisha pointi 41 baada ya kucheza mechi 22. Spurs wao inabaki na pointi zake 48 baada ya kucheza michezo 22 ikiendelea kukamata nafasi ya 3 nyuma ya Manchester City.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |