Waziri wa fedha wa Zimbabwe Mthuli Ncube amesema nchi hiyo itaanza kutumia pesa zake ndani ya miezi 12 ijayo.
Ncube amesema nchi hiyo haiwezi kuendelea kutumia dola za kimarekani au rand ya Afrika Kusini kama sarafu yake.
Zimbabwe ilianza kutumia pesa za nchi za nje mwaka 2009 baada ya pesa zake kukosa thamani kufuatia mfuko wa bei mkubwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |