Dismas ameeleza kuwa Makambo alisafiri kurudi nyumbani kwao DRC kwa mapumziko mafupi, hivyo atarejea wakati wowote kuanzia sasa kuungana na timu hiyo inayojulikana zaidi kuwa ni timu ya wananchi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |