Mwanariadha huyo aliwasili nchini Kenya Januari 8 mwaka huu kushiriki mbio hizo za duru za pili, alifariki mara tu baada ya kufikishwa hospitali. Wakati akishiriki mbio hizo, alisimama ghafla na kuanza kutetemeka huku akiishiwa pumzi kabla ya kuanguka.
Polisi kushirikiana na Ubalozi wa Korea Kusini nchini Kenya umefanya juhudi kuwasiliana na ndugu zake kuwapa taarifa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |