Daktari wa klabu hiyo Yassin Gembe amewaambia waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuwa Bocco atakuwa nje ya uwanja kwa siku 10 baada ya kuumia kwenye mchezo wa klabu hiyo na JS Saoura ya Algeria uliopigwa uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
AS Vita ilipoteza mchezo wake wa kwanza dhidi ya Al Ahly ya Misri katika uwanja wa Borg El Arab mjini Alexandria.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |