Michezo itakayochezwa kwenye michuano hiyo ni pamoja na Mbio za baiskeli, taekwondo, kikapu, riadha na voleboli ya ufukweni, huku nchi 11 zitashiriki ambazo ni Tanzania, Sudan, Burundi, Ethiopia, Misri, Eritrea, Kenya, Sudan Kusini, Uganda, Somalia na mwenyeji Rwanda.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |