Omwela amesema hayo katika mkutano na waandishi wa habari jana wakati wa kuiaga timu ya taifa ya rugby ya Kenya ikiondoka kuelekea New Zealand kushiriki michuano ya rugby ya Hamilton ya wachezaji saba kila upande inayotarajia kuanza Januari 26 hadi 27 nchini New Zealand na mjini Sydney februari 2 na 3 nchini Australia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |