Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Antonio Guterres amesema Umoja huo unahitaji kuimarisha juhudi za kupambana na mabadiliko ya hali ya hewa, kuhimiza kutimizwa kwa Malengo ya Maendeleo Endelevu SDGs na kutumia teknolojia mpya. Akitoa hotuba fupi kuhusu mustakbali wa mwaka 2019 kwenye Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Bw. Giterres amesema "kusimama kunamaanisha kurudi nyuma", na changamoto hizi tatu za karne ya 21 zinapaswa kupewa vipaumbele.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |