Mchezo huo umeanza kujizolea umaarufu nchini humo na viunga vyake ambao asili yake ni bara la ulaya. Mkufunzi wa mchezo huo Vincent Muli ameeleza kuwa ameanzisha mchezo huo kusaidia watoto wa mitaani na sasa wanajifua kushiriki mashindano ya Olimpiki yatakayofanyika nchini Japan mwaka 2020.
Mwaka 2017 klabu hiyo ilishiriki michuano ya klabu bingwa Afrika iliyofanyika nchini Misri na kushika nafasi ya saba.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |