Mauaji ya kikatili kwa mwandishi huyo aliyevumbua skendo ya rushwa kwa aliyekuwa raisi wa shirikisho la soka Ghana bwana Akwesi Nyantakyo na kusababisha raisi huyo wa soka nchini Ghana kufungiwa maisha kutojihusisha na masuala ya michezo.
Mwandishi huyo alijizolea umaarufu nchini Ghana na Afrika kwa ujumla, kutokana na kufichua siri nyingi juu ya kukithiri kwa rushwa kwenye soka barani Afrika, ikiwemo ya mwamuzi wa Kenya aliyeondolewa katika waamuzi waliokuwa wamepangwa kuchezesha Kombe la Dunia mwaka 2018 baada ya uchunguzi wake kumbaini kwamba alipokea rushwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |