• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Uchumi wa China uliongezeka kwa asilimia 6.6 mwaka 2018

    (GMT+08:00) 2019-01-21 10:24:53

    Takwimu zilizotolewa na Ofisi ya takwimu ya taifa ya China NBS, zinaonesha kuwa pato la taifa la China GDP limezidi RMB yuan trilioni 90, sawa na dola za kimarekani trilioni  13.24. Uchumi wa China kwa mwaka jana uliongezeka kwa asilimia 6.6, kiasi ambacho kimezidi lengo la asilimia 6.5 lililowekwa na serikali, na kuwa chini kuliko asilimia 6.8 cha mwaka 2017.

    Takwimu hizo pia zimeonesha kuwa, ongezeko la uchumi katika robo ya nne lilikuwa asilimia 6.4, ambalo ni chini kuliko asilimia 6.5 la robo ya tatu.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako