Jeshi la Misri limesema wapiganaji 59, ofisa mmoja wa jeshi na askari sita wameuawa katika operesheni za kupambana na ugaidi kote nchini humo. Kati ya wapiganaji hao waliouawa, 15 ni magaidi hatari zaidi katika eneo la Sinai Kaskazini na Kati katika maeneo ya jangwa. Wahalifu na watu 142 wanaosakwa pia wamekamatwa katika operesheni hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |