Makamu wa Rais wa China Bw. Wang Qishan amesema mashirika ya kimataifa ya nchi za magharibi na taasisi za fedha ni msukumo muhimu wa mafungamano ya kiuchumi duniani.
Bw. Wang amesema wakati mashirika hayo yanapojitafutia faida, wanatumia raslimali katika nchi na maeneo yenye gharama za chini za uzalishaji na kuweka mazingira mazuri ya biashara wakati yanajenga minyororo ya viwanda duniani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |