Ofisi ya Kupunguza Hatari za Maafa ya Umoja wa Mataifa UNISDR imesema mwaka jana matetemeko ya ardhi na tsunami yalisababisha vifo vya watu 10,373 huku hali mbaya ya hewa ikiwaathiri watu milioni 61.7. Imesema hakuna eneo hata moja lililoweza kujiepusha na athari za hali mbaya ya hewa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |