Rais Xi Jinping wa China amemtumia salamu za rambirambi mwenzake wa Brazil Jair Bolsonaro, kufuatia ajali ya kubomoka kwa bwana iliyosababisha vifo vya watu. Kwenye salamu zake Rais Xi amesema ameshtushwa na ajali hiyo ambayo pia imesababisha hasara kubwa ya mali.
Kwa niaba ya serikali ya CHIna na wananchi wake, Rais Xi ametoa salamu za pole kwa wahanga na familia za wale wasiojulikana walipo. Pia amewatakia waliojeruhiwa wapone haraka.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |