wanariadha wawili wa Ethiopia Worknesh Degefa na Worknesh Edesa wamekamata nafasi ya pili na tatu kwenye mashindao hayo upande wa wanawake.
upande wa wanaume, Getaneh Molla wa Ethiopia amechukua taji baada ya kutumia masaa 2:03:34 ambayo ni kasi ya juu zaidi ya mkimbiaji anayeshiriki marathoni kwa mara yake ya kwanza. nafasi ya pili na ya tatu imekwenda kwa Waethiopia wengine Hepassa Negasa na Afesa Mengstu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |