Man U imeshuka hadi nafasi ya tatu baada ya Barcelona ambayo ni klabu nyingine kutoka Uhispania kuchukua nafasi ya pili. Kulikuwa na jumla ya vilabu sita vya ligi ya Uingereza vilivyojumuishwa katika orodha ya vilabu kumi tajiri zaidi duniani.
Orodha ya vilabu tajiri zaidi duniani ambayo huchapishwa kila mwaka na kampuni ya Deloitte huangazia thamani ya vilabu bila kujumuisha madeni.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |