kabla ya mechi hiyo, Simba SC ilikabiliana na Mbao fc zote za Tanzania kutafuta mshindi wa tatu. matokeo ni Simba imenyakua nafasi ya 3 baada ya kuwafunga Mbao fc kwa taabu baada ya kwenda sare ya bila kufungana na kulazimisha kupigiana matuta, ambapo Simba ilishinda kwa matuta 5-3.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |