Watu wasiopungua 15 wamefariki dunia na wengine 30 wamejeruhiwa baada ya ukuta na paa la hoteli moja kuporomoka mjini Abancay, kusini mwa Peru. Tukio hilo lilitokea wakati harusi inafanyika ndani. Habari zinasema mvua kubwa ni chanzo cha ajali hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |