jopo huru la nidhamu katika shirikisho la riadha duniani (IAAF) limetupilia mbali madai ya mwanariadha huyo kwamba dawa hizo alitumia baada ya daktari feki kumchoma sindano katika hospitali moja wakati madaktari wakiwa kwenye mgomo.
Hukumu hiyo inamaanisha kwamba Sumgong, mkenya wa kwanza kabisa mwanamke kushinda marathon katika michezo ya Olimpiki aliponyakua ubingwa wa mwaka 2016 nchini Brazil, atatumikia adhabu hiyo hadi Aprili 3, 2025.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |