Simba itaondoka na wachezaji 20, benchi la ufundi na viongozi kadhaa. Nao JS Sauora ya Algeria watakutana na AS Vita ya DRC katika mchezo wa kundi hilo. hadi sasa Al Ahly ndio wanaongoza kundi wakifuatiwa na AS Vita, Simba inashika nafasi ya tatu huku JS Sauora ikishika mkia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |