Nusu fainali nyingine inachezwa leo kati ya Qatar na Umoja wa Falme za Kiarabu. Qatar imeongia nusu fainali baada ya kuwatoa Korea Kusini kwa goli 1-0 huku Falme za Kiarabu ikiitoa Australia kwa goli 1-0.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |