makamu wa rais wa shirikisho la soka Misri (EFA) Ahmed Shobir ametangaza kuwa CAF imefikia uamuzi huo baada ya kupata maombi kutoka nchi mbalimbali.
Misri wamechukua uenyeji wa mashindo hayo baada ya Morocco kujitoa dakika za mwisho.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |