Bw. Faysal ameeleza hali ya kisasa ya Sudan ambayo imedhibitiwa kikamilifu, na maisha ya watu yamerudi katika hali ya kawaida. Pia Bw. Faysal ameishukuru China kwa kusaidia kudumisha amani na utulivu nchini humo na kuendeleza uchumi wao.
Bw. Wang amesema China itaendelea kuiunga mkono Sudan kujiendeleza kwa njia inayofaa, kudumisha utulivu wa jamii na kupinga nguvu za nje kuingia mambo ya ndani ya Sudan. Pia amesema China itaendelea kutoa misaada kwa Sudan.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |