Israel imetangaza kuwa haitaongeza muda wa Uwepo wa Kimataifa wa Muda huko Hebron TIPJ, tume moja ya waangalizi wa kiraia katika mji huo wa Ukingo wa Magharibi. Hii inamaanisha kuwa kundi hilo linaloundwa na watu wengi wa Ulaya ambalo limekuwepo kama jeshi la kulinda amani kwa miaka 15, linaweza kufukuzwa mjini humo. Waziri mkuu Benjamin Netanyahu amesema hataruhusu kuendelea kuwepo kwa jeshi la kimataifa linalopambana nao.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |