Mwenyekiti wa shirikisho la gofu nchini humo (KOGL) Peter Kanyago amewashukuru wafadhili hao kwa kuendelea kufadhili mashindano ya mwaka huu na kusema kuwa, kuimarika kwa kiwango cha mchezo huo ndio kulichangia pakubwa kwa wafadhili kujitokeza kufadhili zaidi mashindano ya mchezo wa gofu ya mwaka huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |