• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • SOKA: Kombe la ASIA 2019: Qatar yaungana na Japan

    (GMT+08:00) 2019-01-30 08:12:26

    Michuano ya kombe la Asia imeendelea jana, kwa mchezo wa pili wa nusu fainali baina ya timu ya Qatar kuibuka na ushindi wa magoli 4-0 dhidi ya Umoja wa Falme za Kiarabu, na kufanikiwa kuungana na Japan.

    Fainali sasa itazikutanisha Japan na Qatar mchezo utakaochezwa Februari mosi mwaka huu.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako