Kuhusiana na klabu za Simba na Yanga za Tanzania ambazo ndio vilabu vyenye upinzani mkubwa wa jadi na mashabiki wengi Afrika Mashariki, amesema Klabu ya Simba ni maarufu na inasakata kandanda safi zaidi ya Klabu ya Yanga kwa muda mfupi alivyoziona alipokuwa nchini Tanzania kushuhudia michuano ya SportPesa.
Wakati huo huo, Klabu ya Simba imewasili mjini Alexandria nchini Misri tayari kwa pambano lake dhidi ya wenyeji Al Ahly katika mchezo wa klabu bingwa Afrika hatua ya makundi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |