Shahanga ameweka wazi kuwa baada ya mashindano hayo, yatafuata mashindano ya wazi taifa mjini Moshi Kilimanjaro februari 16 kwenye viwanja vya gofu. Mbio zitakazoshidaniwa ni za kilomita 10 kwa wanaume na wanawake. Pia kutakuwa na mbio za vijana za kilomita 8 na za watoto za kilomita 6.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |