Murray mwenye umri wa miaka 31 na bingwa wa Granda Slam mara tatu, mapema mwezi huu alitangaza kuwa huenda akastaafu baada ya michuano ya wazi ya Asustralia au michuanon ijayo ya Wembledon.
Madaktari wameeleza kuwa asilimia 90 hadi 95 ya wagonjwa ambao wanafanyiwa upasuaji wa aina hii, wanaondokana na maumivu tena maisha yao yote lakini mpaka sasa hakuna mgonjwa ambaye ametibiwa tatizo hilo na akacheza tena kwa ushindani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |