Kwingineko: miamba ya soka nchini Ufaransa klabu ya Paris Saint Germain almaarufu kama PSG imethibitisha kuwa mshambuliaji wake raia wa Brazil, Neymar kutokana na kupata majeraha kwenye kifundo cha mguu ule ule ambao aliwahi kuumia kabla ya michuano ya kombe la dunia mwaka jana, atakaa nje ya uwanja kwa muda wa wiki 10.
Kuumia kwa nyota huyo sasa atakosa michezo yote miwili dhidi ya miamba ya Uingereza Manchester United na si mechi moja kama ilivyoelezwa awali.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |