Zamalek na Gor Mahi azote zipo katika kundi D, waamuzi wa mchezo huo tayari wameshafahamika kuwa mwamuzi wa kati ni Celso Armindo Alvacao wa Msumbiji, washika vibendera ni Arsenio Chadreque na Zacarias Horacio Baloi, naye Helly Zafinimanga kutoka Madagascar yeye ni kamisaa wa mchezo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |