Mkoa wa Dar es Salaam umefanikiwa kufanikisha safari ya mchezaji kinda Rabbin Sanga kwenda kufanya majaribio ya soka nchini Afrika Kusini. Sanga atakwenda kwenye kikosi cha Besiktas cha vijana chini ya umri wa miaka 16 ambapo atafanya majaribio na kama atafuzu atasajiliwa moja kwa moja.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |