Waziri wa elimu wa Kenya Bibi Amina Mohamed amesema, mkutano huo utashirikisha wasomi, viongozi wa viwanda na sekta zisizo za faida, kutafuta njia bora ya matumizi ya teknolojia ya kisasa katika kuongeza ufanisi wa kufundisha na kujifunza.
Meneja wa sekta ya elimu ya Benki ya Dunia kanda ya kusini mwa Afrika Bw. Sajitha Bashir, matumizi ya teknolojia ya kidijitali ni njia muhimu ya kuboresha ufanisi wa kujifunza ambao haukupatikana kwa watoto wengi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |