Lebanon ametangaza kuanzishwa kwa serikali mpya na kumaliza hali ya kukwama kisiasa iliyodumu kwa miezi tisa. Katibu mkuu wa Baraza la Mawaziri Bw. Fouad Fleifel amesema serikali ya umoja wa kitaifa ya Lebanon itakayoongozwa na waziri mkuu Bw. Saad Hariri, ina mawaziri 30 wanaotoka pande mbalimbali kuu za kisiasa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |