Awali mwaka 2017 uuzaji wa kuku wa Uganda ulikuwa umepigwa marufuku kwenye kanda ya Afrika mashariki baada ya kuzuka kwa homa hiyo.
Katibu wa kudumu kwenye wizara ya mifugo nchini Kenya Harry Kimutai sasa wanasubiri ripoti ya OIE ili kuondoa marufuku ilioko.
Mbali na Kenya, Uganda pia huuza bidhaa zake za kuku nchini Rwanda na Sudan Kusini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |