Imesema ukuaji wa miezi 6 hadi desemba mwaka 2018 umechangiwa na mazingira mazuri ya uendeshaji katika kanda, na kuungwa mkono na uwekezaji katika bidhaa zake.
Nchini Kenya na Uganda mauzo yalikua kwa asilimia 12 na nchini Tanzania asilimia 26.
Mwaka ujao, Kampuni hiyo inapanga kuanza oparesheni kwenye kiwanda chake mjini Kisumu ambako iliwekeza dola milioni 49.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |