Uendeshaji wa Mfuko wa mauzo ya Nje ya Afrika (FEDA) umepiga hatua mpya kwenye mkutano wa wa Bodi ya Wakurugenzi huko Cairo, Misri.
FEDA, ambayo inamilikiwa na benki ya Afrexim imeanzishwa ili kutoka mitaji kwa makampuni katika biashara ya kilimo , viwanda, na huduma za kifedha.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |