Shirika la ndege nchini humo linajiandaa kujenga uwanja mpya wa kimataifa kilomita 19 nje ya mji mkuu addis ababa.
Uwanja huo utakuwa na uwezo wa kuhudumia zaidi ya wasafiri milioni 80kwa mwaka.
Kampuni ya ushauri ya ufaransa ADPI imefanya utafiti na kuchagua eneo hilo kabla ya kuliwasilisha kwa shirika la uchukuzi wa anga la ethipia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |