Mwakilishi maalumu wa Marekani anayeshughulikia Maafikiano ya Afghanistan Zalmay Khalizad ameongoza ujumbe wa idara mbalimbali kufanya ziara nchini Ubelgiji, Ujerumani, Uturuki, Qatar, Afghanistan na Pakistan kuanzia jana tarehe 10 hadi 28, mwezi huu. Ziara hiyo ni sehemu ya juhudi kamili ya kuhimiza mchakato wa amani unaokutanisha pamoja vyama vyote vya Afghanistan kwenye mazungumzo ya Waafghanistan.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |