Serikali ya Uganda inasubiri kupata mshirika wa kutekeleza mradi wa barabara kuu kati ya Jinja na mji mkuu Kamapla.
Mradi huo unatarajiwa kugharimu dola bilioni 1.
Wizara ya fedha nchini humo imesema tayari serikali imepata ufadhili wa dola milioni 400 kutoka kwa washirika wake wakiwemo Umoja wa Ulaya, benki ya maendeleo ya Afrika na Ufaransa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |