Licha ya kutangaza hayo, Wambura jana amepelekwa rumande baada ya kunyimwa dhamana kufuatia kusomewa mashtaka 17 katika mahama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam yakiwemo kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu zaidi ya shilingi milioni 100 za Tanzania.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |