Onkar ameeleza shirikisho la mbio za magari za Kenya (KMSF) kwamba amekabwa na majukumu ambayo hawezi kuyaepuka. Hata hivyo, mshindi huyu wa ligi ya daraja ya pili ameahidi kurejelea kampeni za kutafuta taji lake la kwanza kabisa la Kenya katika duru ya tatu itakayoandaliwa mjini Eldoret.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |