Msimu wa kwanza nchi 5 zilishiriki ambazo ni Zambia, Afrika Kusini, Tanzania, Eswatini na Zimbabwe na kushuhudia Afrika Kusini ikitwaa ubingwa huo katika fainali zilizofanyika Zambia. Mwaka huu Castle Lager 5 imeongeza washiriki kutoka watano hadi nane huku fainali zake zikitarajia kufanyika nchini Tanzania.
Nchi zinazoshiriki ni wenyeji Tanzania, Uganda, Zambia, Afrika Kusini, Eswatini, Ghana, Nigeria na Zimbabwe, bingwa wa mwaka huu atapata fursa ya kwenda barani Ulaya ambapo nchi itatajwa baadaye.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |