Kocha wa PSG, Thomas Tuchel atalazimika kumpanga mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa Kylian Mbappe kama mshambuliaji wa kati huku kushoto akicheza Julian Draxler na kulia akikaa Angel Di Maria.
Pambano la marudiano baina ya Machester United na PSG linatazamiwa kupigwa Machi 3 katika uwanja wa Old Trafford jijini Manchester na kuna uwezekano Cavani akarudi katika mechi hiyo lakini hakuna uwezekano wa Neymar kucheza mechi hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |