Mashirika ya ndege ya Afrika Mashariki yanapanga kupanua oparesheni zake barani humo nan je ya Afrika.
Shirika la ndege la Tanzania lipanga kuanzisha safari za kwenda nchini Zambia na Zibambwe ndani ya wiki mbiliz zijazo.
Meneja mkurungezi wa shirika hilo amesema pia wanapanga kuanza safari za mbali kwenda China na India pindi tu watakakapokea idhini ya uanachama wa shirika la kimataifa la usafiri wa anga IATA.
Amesema shirika hilo lina ndege sita tayari za kuliwezesha kupanua oparesheni zake.
Nayo mashirika la Kenya airways na Rwandair yanapanag kuanza safari zao kwenda Tel Aviv nchini Israel.
Kenya airways pia inapanga kuanza safari za Rome na Geneva kuanzia mwezi Juni.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |