Muungano unaoongozwa na Saudi Arabia katika vita nchini Yemen umekanusha shutuma nne kuhusu kuwaua raia wasio na hatia katika operesheni zake za kijeshi nchini humo. Katika miaka mitatu iliyopita, Saudi Arabia imekuwa ikiongoza vita nchini Yemen dhidi ya waasi wa Houthi ambao ni wenzi wa Iran, ili kuunga mkono serikali iliyopinduliwa ya Yemen.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |