Wadau kwenye sekta ya chai wamesema mauzo hayo yamechangiwa na ongezeko la uzalishaji.
Taakwimu zinaonyesha kuwa mwaka 2018 Uganda ilizalisha na kuuza nje magunia milioni 71 ya chai.
Katibu mkuu wa chama cha chai nchini humo George William Ssekitooleko hata hivyo amesema, mauzo kupitia mnada wa Mombasa mwaka huu yamepungua.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |