Mabondia hao almanusura wazichape kwenye mkutano huo wa wandishi wa habari baada ya Miller kumsukumiza Joshua, na Joshua kupandwa na jazba kutaka kuanza kumshushia Makonde, shukrani kwa wanausalama waliokuwepo walifanikiwa kuwazuia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |